Sunday, 3 June 2012
Friday, 1 June 2012
Watch brand new professional music video ''Pretty Girl'
Support mia mia vya kwetu, nikimaanisha vya Tanzania:) Kazi nzuri hii, Big up JanB and Obi.
Unaionaje? toa maoni yako, JanB anapita hapa na angependa kupata maoni yenu.
The lady in the video amenikumbusha African night Cruise, kama mnakumbuka ndio alishinda Miss Africa in Sweden kwenye cruise party. Ametokelezea vizuri sana.
Unaionaje? toa maoni yako, JanB anapita hapa na angependa kupata maoni yenu.
The lady in the video amenikumbusha African night Cruise, kama mnakumbuka ndio alishinda Miss Africa in Sweden kwenye cruise party. Ametokelezea vizuri sana.
Another song from MYU3
Welcome To Heartbreak called "Chapaa". In this
song Wakazi features a singer from Burundi, named Mtulivu.
TUSHUKURU KWA YOTE-LAMECK DITTO
Sikiliza wimbo wenye mengi ya kujifunza, kikubwa ni Tushukuru kwa yote yawe mabaya au mazuri tushukuru. Naupenda sana huu wimbo, Big up Lameck. Taarifa nilizopata hivi punde kutoka kwa Lameck ni kwamba atatoa kibao kipya mwezi wa saba. Tunakisubiria kwa hamu na lahasha kitakuwa kikali zaidi.
Thursday, 31 May 2012
JESTINA GEORGE ON AFRICAN FASHION & DESIGNS
Jestina George is a fashionista, blogger, Presenter and a model based in London, from Tanzania the land of Kilimanjaro. AILTV caught up with her at the the launch of READY TO WARE by Anna Luks. Jestina is speaking is expressing her concerns about African fashion and designs.
Labels:
African Fashion,
Designs,
Jestina George
| Reactions: |
Ukweli unauma na nikijua moyo utauma.....
Nakupenda ndio skiza moyo wangu unavyokwenda mbio....
I love this song sooooooo much!!
Wednesday, 30 May 2012
Aida's Bridal Shower pics

African ladies, so beautiful


Tulifurahijeeeeee, tukachezajeeeeee haswaaaaaa


sisters sisters
I love this pic sooooo much, happy sisters
Wanakamati wa shughuli mmependezajeeeee
Dadaz wenyeweeee mmetokelezea
Nice one
Waremboooo
Happy people
Dadaz wangu mko juuu,pendezaaaaa
Tulishiba haswaaaaa, vitu vitamu vitamu:) chapati,vitumbua,kuku nk
The End!!
Nawaacha na busu:)
Kila la kheri bi Aida
Muaaah muaaaaah
PS: Picha nilizoweka nimepewa ruhusa na wahusika kuziweka hapa so kama wewe hukuomba watu kuweka picha zao usitafute ubaya na watu na kuweka picha zao. Naheshimu maamuzi ya watu na ndio maana niliuliza kama naweza kuwapiga na kuweka picha zao kwenye blog yangu. I hope unaejiuliza umepata jibu.
Labels:
Aida's bridal shower,
Stockholm
| Reactions: |
Diamond alivyowakilisha....
Diamond amewakilisha Tanzania vizuri sana na anastahili pongezi. Hiki ni kipande kifupi tuu sasa fikiria kuona live show nzima....hapana chezea Almasi.
Subscribe to:
Posts (Atom)



